RASMI CHAMA AREJEA SIMBA(+Video)
- Michezo na Burudani
- January 14, 2022
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na wadau wa sekta ya nguo na mavazi ili kusikiliza changamoto wanazokutana nazo na mapendekezo yao katika kuboresha na kukuza sekta hiyo. Akizungumza na wadau hao katika kikao kilichofanyika Februari 9,2021 katika ukumbi wa Chuo cha Biashara (CBE ) jijini Dodoma
READ MOREMsomaji, wa jfive karibu uyatazame magazeti ya leo tarehe 11.02.2021.
READ MORENa Barnabas kisengi Dar es salaamFebruary 10 2021 Mstahiki Meya Manispaa ya Ilala Mhe Omary Kumbilamoto amefanya ziara yake ya kikazi katika Kata ya Upanga Magharibi pamoja na Kata ya Buguruni katika ziara hiyo Mstahiki aliambatana na Afisa Elimu Manispaa ya Ilala Mwalimu Mussa. Katika Kata ya Upanga Magharibi Mstahiki alitembelea Ujenzi wa Bweni katika
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Aboubakar Kunenge amewataka Viongozi ngazi Mitaa kuhakikisha wanashughulikia ipasavyo kero na changamoto mbalimbali kwenye mitaa yao na kuhakikisha wanatoa taarifa mapema pale wanapobaini Jambo lipo *juu ya uwezo wao* ili liwezekushughulikiwa na ngazi za juu. RC Kunenge amesema hayo wakati wa kikao chake na Watendaji na Wenyeviti
READ MOREFebruary 10 2021 Habari picha: Vijana msibweteke kusubiri ajira za serikali pindi mnapo maliza masomo kuna ujuzi wa fani mbalimbali jitokezeni kujifunza fani mbalimbali ili uweze kujiajiri na kuwaajiri wengine ili kuweza kupata kipato na kujikwimu kimaisha na kuacha kuwa tegemezi kwa familia na serikali katika kuelekea Tanzania ya viwanda ni kauli ya fundi ujenzi
READ MORENa Barnabas kisengi February 10 2021 Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Sungamile Halmashauri ya Msalala Wilayani Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwasogezea huduma ya Mawasiliano hususan mnara katika kijiji hicho. Wakizungumza na Jfive one line blog kijijini hapo baadhi ya wananchi walisema mawasiliano ya simu yamekuwa ya kusuasua katika kijiji hicho hali ambayo husababisha kupanda
READ MORE