Na Barnabas Kisengi ,Dodoma KAMATI ya maadili ya Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) imekamilisha zoezi la kuwahoji Wabunge wa chama hicho akiwemo Askofu Josephat Gwajima Mbunge wa Jimbo la Kawe Dar-es-salaam, Mbunge wa Jimbo la Ukonga Dar-es-salam Jerry Silaa na aliyekuwa katibu wa NEC Itifaki na uenezi Humphrey Polepole ambaye ni Mbunge wa kuteuliwa. Akizungumza na
READ MORENa Barnabas Kisengi-Mpwapwa Halmashauri ya Wilaya Mpwapwa imetenga kiasi cha fedha shilingi milioni 100 kutoka kwenye makusanyo ya mapato ya ndani na kuzielekeza fedha hizo kwenda kutatua changamoto katika sekta ya elimu wilayani hapo. Kauli imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halimashauri ya Mpwapwa Bi Mwanahamisi Ally wakati akizungumzia vipaombele vya kazi za miradi ya maendeleo
READ MORENa Barnabasi Kisengi, Dodoma JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi(UCCM) kimeeleza kuwa safari anazofanya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan zinalenga kuimarisha mahusiano ya kimataifa na si vinginevyo.Hatua hii imekuja wakati ambapo Rais Samia tayari amewasili nchini Zambia kuhudhiria kuapishwa kwa Rais Mteule wa nchi hiyo Hakainde Hichilema
READ MORENa Barnabas Kisengi, Dodoma. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) KENAN KIHONGOSI amewataka vijana kuacha kubweteka na kusubiri ajira zinazotolewa na serikali na badala yake wajikite kwenye kujiajiri wenyewe kwa kufanya kazi za ujasiliamali ili waweze kujikwimu kimaisha. Kauli hiyo ameitoa jijini Dodoma wakiti akiwa kwenye kikao na
READ MOREAskofu Gwajima alipokea wito kutoka Ofisi ya Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai ikimtaka kufika mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwemo kusema uongo na kushusha hadhi ya Bunge.
READ MORENa Barnabas Kisengi , Dodoma Chama cha Mapinduzi (CCM) kimewataka viongozi , wataalam na wasimamizi wa miradi mbalimbali ya maendeleo kufanya kazi kwa uwazi,uwajibikaji na ushirikiano ili kufanikisha adhma ya serikali ya awamu ya sita katika kuwaletea maendeleo wananchi. Kauli hiyo imetolewa leo Agosti 22,2021 jijini Dodoma na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha
READ MORE