• Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt kuitangaza Zanzibar kimataifa.

    Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt kuitangaza Zanzibar kimataifa.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza ujio pamoja na azma ya Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt ya kutaka kuekeza sambamba na kuwa Balozi wa kuitangaza Zanzibar kiutalii. Rais Dk. Mwinyi alitoa pongezi hizo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Muigizaji Nyota

    READ MORE
  • RAIS Dkt. Mwinyi amekutana na wasanii wa Tamasha la “Nandy Festival” Ikulu Zanzibar.

    RAIS Dkt. Mwinyi amekutana na wasanii wa Tamasha la “Nandy Festival” Ikulu Zanzibar.0

                                                                               STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE  Zanzibar                                                                                        22.07.2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Tamasha la “Nandy Festival” na kusema kwamba kufanyika kwa Tamasha hilo hapa nchini ni fursa ya kuutangaza utalii wa Zanzibar. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu

    READ MORE
  • Babu Tale anakuja na WAUKAE FESTIVAL Mkoani Morogoro.

    Babu Tale anakuja na WAUKAE FESTIVAL Mkoani Morogoro.0

    Mbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki Babu Tale anatarajia kufanya tamasha kubwa la muziki katika kata ya Kiroka iliyopo katika halmashauri ya Morogoro ambalo litawakutanisha wasanii wakubwa zaidi ya 20. Akizunguza na waandishi wa habari mkoani Morogoro Babu Tale amesema tamasha hilo lililopewa jina la WAUKAE FESTIVAL litafanyika siku ya tarehe 5 mwezi wa

    READ MORE
Translate »