• Waziri Bashungwa awataka Wasanii kuachana na Malumbano

    Waziri Bashungwa awataka Wasanii kuachana na Malumbano0

    Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo,  Mhe. Innocent Bashungwa amewataka wasanii wa Tanzania kutumia muda wao vizuri na kuachana na malumbano,  ili kupata muda wa kutengeneza kazi zenye ubora na mvuto kwa watazamaji na wasikilizaji ambazo zitawanufaisha. Mhe. Bashungwa ametoa kauli hiyo leo Disemba 2, 2021  jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza katika hafla fupi

    READ MORE
  • Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt kuitangaza Zanzibar kimataifa.

    Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt kuitangaza Zanzibar kimataifa.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi ameupongeza ujio pamoja na azma ya Muigizaji Nyota wa Filamu za Kihindi, Sanjay Dutt ya kutaka kuekeza sambamba na kuwa Balozi wa kuitangaza Zanzibar kiutalii. Rais Dk. Mwinyi alitoa pongezi hizo Ikulu Jijini Zanzibar wakati alipokutana na kufanya mazungumzo na Muigizaji Nyota

    READ MORE
  • RAIS Dkt. Mwinyi amekutana na wasanii wa Tamasha la “Nandy Festival” Ikulu Zanzibar.

    RAIS Dkt. Mwinyi amekutana na wasanii wa Tamasha la “Nandy Festival” Ikulu Zanzibar.0

                                                                               STATE HOUSE ZANZIBAR OFFICE OF THE PRESS SECRETARY PRESS RELEASE  Zanzibar                                                                                        22.07.2021 RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amelipongeza Tamasha la “Nandy Festival” na kusema kwamba kufanyika kwa Tamasha hilo hapa nchini ni fursa ya kuutangaza utalii wa Zanzibar. Rais Dk. Mwinyi aliyasema hayo leo Ikulu

    READ MORE
Translate »