*Awataka pia wahamasishe wananchi kuhusu Sensa ya Makazi na Watu WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka Wakuu wa Mikoa na Wakuu wa Wilaya wafanye ziara kwenye masoko na maduka ili kupata hali halisi ya bei za bidhaa na wachukue hatua kudhibiti upandaji holela wa bei hizo. Waziri Mkuu ametoa maagizo hayo leo (Ijumaa, Aprili 22, 2022)
READ MOREMFUMUKO wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Januari ,2022 umepungua hadi asilimia 4.0% kutoka asilimia 4.2% kwa mwaka ulioishia mwezi Disemba 2021 . Hayo yamebainishwa leo Februari 8,2022 jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi Sensa ya watu na takwimu za jamii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bi.Ruth Minja wakati akizungumza na waandishi wa
READ MORE