• MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAPUNGUA HADI ASILIMIA 4.0% KUTOKA ASILIMIA 4.2%.

    MFUMUKO WA BEI WA TAIFA WAPUNGUA HADI ASILIMIA 4.0% KUTOKA ASILIMIA 4.2%.0

    MFUMUKO  wa bei wa Taifa kwa mwaka ulioishia mwezi Januari ,2022  umepungua hadi asilimia 4.0% kutoka asilimia 4.2% kwa mwaka ulioishia mwezi Disemba 2021 . Hayo yamebainishwa leo Februari 8,2022 jijini Dodoma na Kaimu Mkurugenzi Sensa ya watu na takwimu za jamii  kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu Bi.Ruth Minja wakati akizungumza na waandishi wa

    READ MORE
  • Dkt. Mwinyi amewataka wananchi kuwajibika ipasavyo katika shughuli wanazofanya .

    Dkt. Mwinyi amewataka wananchi kuwajibika ipasavyo katika shughuli wanazofanya .0

                                   STATE HOUSE ZANZIBAR                        OFFICE OF THE PRESS SECRETARY                                           PRESS RELEASE Zanzibar                                                                        January 14, 2022 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuwajibika ipasavyo katika shughuli wanazofanya ili Taifa liweze kufanikisha dhamira ya  kupata maendeleo. Alhaj Dk. Mwinyi amesema hayo katika salamu alizotoa kwa

    READ MORE
  • Makamu wa Rais Mhe. Abdulla amezungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali.

    Makamu wa Rais Mhe. Abdulla amezungumza na mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania katika mataifa mbalimbali.0

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla amewahakikishia mabalozi walioteuliwa na kupangiwa kazi katika mataifa mbali mbali kuwa serikali ya Mapinduzi Zanzibar itaendelea kutoa ushirikiano katika kufanikisha vyema majukumu yao. Mhe. Hemed alieleza hayo wakati mabalozi hao walipofika Ofisini  kwake Vuga kumuaga  kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha Tanzania katika Nchi zao

    READ MORE
Translate »