CHANJO CORONA LAZIMA WANAOTAKA KWENDA KUISHI SAYARI YA MARS
- Sayansi na Teknolojia
- August 9, 2021
Na Barnabas Kisengi, Dodoma Wabunifu watengewa bilioni 5.5 Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,Sayansi na Teknolojia,Profesa Eliamana Sedoyoka amesema Serikali imepanua wigo wa bajeti ya masuala ya ubunifu nchini kutoka Sh.Bilioni moja kwa mwaka 2021/22 hadi kufikia Sh.Bilioni 5.5 kwa mwaka ujao wa fedha 2022/23. Hayo yameelezwa leo Jijini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Prof.Eliamani Sedoyeka,wakati
READ MOREWaziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof. Adolf Mkenda akisisitiza jambo wakati wa kikao kazi na kamati tendaji ya Scauti Tanzania akiwa ameambatana na Scauti Mkuu Tanzania Bi Mwantumu Maiza kilichofanyika Ofisini kwake Jijini Dar es salaam leo tarehe 18 Machi 2022. (Picha Zote Na Mathias Canal) Wajumbe wa kamati tendaji ya Scauti Tanzania wakimsikiliza kwa
READ MORENa Fatma Salum-GCLA Mkemia Mkuu wa Serikali Dkt. Fidelice Mafumiko amewahimiza wajasiriamali kuzingatia matumizi salama ya kemikali wanazotumia katika uzalishaji wa bidhaa zao ili kulinda afya za binadamu na mazingira. Dkt. Mafumiko ameyasema hayo jana jijini Dar es Salaam alipotembelea maonesho ya wanawake wajasiriamali yaliyoandaliwa na Chama cha Wanawake Wafanyabiashara Tanzania (TWCC) ambayo yanafanyika kwenye
READ MORETAASISI ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na Shirika la Posta Tanzania (TPC) wameingia mkataba wa ushirikiano lengo ikiwa ni kutatua changamoto katika jamii kupitia wataalam wa Taasisi hizo. Akizungumza kwenye hafla ya kusaini mkataba huo iliyofanyika jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam, Prof. Preksedis Ndomba amesema makubaliano hayo
READ MORE