RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali itaendelea kushirikiana na waumini wa madhehebu mbali mbali ya dini na kusema tofauti ziliopo kati yao haziwezi kuvunja misingi ya Dini. Alhaj Dk. Mwinyi amesema hayo katika salamu alizotoa kwa waumini walioshiriki Ibada ya sala ya Ijumaa, iliofanyika Masjid
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua Msikiti wa Jami’ul Istiqaama leo tarehe 10 Juni, 2022 Bukoba Mjini Mkoani Kagera. FUATILIA MUBASHARA KWA KUBONYEZA LINK HAPO CHINI
READ MOREWaumini wa Dini ya Kiislamu wametakiwa kuendeleza kuiombea nchi yetu ili iweze kunusurika na majanga mbali mbali yanayoweza kujitokeza. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla ametoa wito huo wakati akisalimiana na Waumini wa Masjid JAMAEE ALSALAM uliopo Fuoni Wilaya ya Magharibi ‘B’mara baada ya kumalizika Swala ya Ijumaa. Amesema ni
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewaapisha Kadhi Mkuu wa Zanzibar Sheikh Hassan Othman Ngwali pamoja na Naibu Kadhi Mkuu Sheikh Othman Ame Chum, kufuatia uteuzi aliofanya kwa watendaji hao mnamo Mei 5, mwaka huu. Hafla hiyo ya kiapo imefanyika Ikulu, jijini Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi
READ MORE