- Dini, Habari, Kitaifa
- October 1, 2023
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa viongozi wa dini kuwahimiza vijana kufanya kazi kwa staha, weledi na uadilifu ili kuzitumia rasilimali zilizopo nchini kujiletea maendeleo. “Nchi yetu imebarikiwa fursa nyingi za kiuchumi, ili jamii ione matunda ya uwepo wa fursa hizo tunategemea sana nguvu kazi ya vijana katika kuzitumia rasilimali zilizopo” Ametoa wito huo
READ MORE- Dini, Habari, Kitaifa
- September 29, 2023
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amalitaka Baraza la Maulidi Zanzibar kuendelea kusimamia na kutoa maelekezo na miongozo mizuri ya usomwaji wa maulidi nchini kwa kwani kwa kiasi kikubwa maadili yamekiukwa kwa miaka ya karibuni. Ahaj Dk. Mwinyi aliyasema hayo alipozungumza kwenye hafla ya Baraza la Maulid Zanzibar, Ukumbi
READ MORE- Dini, Habari, Kitaifa
- July 21, 2023
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi amewataka waumini wa dini ya kiislamu kuzingatia umuhimu wa suala la elimu. Ameyasema hayo leo baada ya sala ya ijumaa katika msikiti wa Abuu Ubadya uliopo Fuoni Meli Saba Mkoa wa Mjini Magharibi. Alhaj. Dk. Mwinyi amewataka wazazi kuwahimiza watoto wao kusoma
READ MORE