Na; Emesto Eliudy, Dar Es Salaam Serikali kupitia Wizara ya elimu nchini, imeshauriwa kuandaa mitaala rafiki Kwa ajili ya masomo Kwa wanafunzi wa shule za msingi na Sekondari ili kuwajengea uwezo mkubwa na uelewa mpana wa elimu wanafunzi hao. Ushauri huo umetolewa jijini Dar Es Salam na Mchungaji wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la
READ MORENa, Emesto Eliudy, Dar Es Salaam. Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Mashariki Limewataka waumini wa Kanisa Hilo na watanzania Kwa ujumla kutochoka kuwasaidia watu waishio katika mazingira Magumu ikiwa ni sehemu Yao ya Ibada Kwa Mungu. Kauli hiyo ilitolewa asubuhi ya Leo Jijini Dar Es Salaam na Mwenyekiti wa Kanisa Hilo Jimbo la Mashariki,
READ MORE