• DINI INA MCHANGO MKUBWA WA KUJENGA MAADILI KWENYE TAIFA.

    DINI INA MCHANGO MKUBWA WA KUJENGA MAADILI KWENYE TAIFA.0

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akikagua msikiti wa ‘Masjid Ali Bin Saif’ kabla ya kuuzindua, msikiti ambao umejengwa na familia ya Sheikh Seif Ali Seif, maeneo ya Vingunguti jijini Dar es Salaam Aprili 14, 2023. Sheikh Nassor na Sheikh Seif wamejenga msikiti huo wenye hadhi kubwa kwa niaba ya Baba yao ambaye ameshatangulia mbele ya haki. – Advertisement – Waziri Mkuu

    READ MORE
  • Serikali inaunga mkono jitihada za sekta binafsi za kukuza maendeleo.

    Serikali inaunga mkono jitihada za sekta binafsi za kukuza maendeleo.0

    Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itaendelea kuunga mkono jitihada zinazochukuliwa na sekta binafsi katika kuwaunganisha na kuwaletea maendeleo wazanzibari.Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili Sera,Uratibu na Baraza la Wawakilishi Mhe Hamza Hassan Juma kwa niaba ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla katika hafla ya 

    READ MORE
  • ”Serikali itapunguza kero ya ongezeko la bei ya vyakula.”Rais Dkt.Mwinyi.

    ”Serikali itapunguza kero ya ongezeko la bei ya vyakula.”Rais Dkt.Mwinyi.0

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amejumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika Msikiti wa Shifaa Mwembetanga, Wilaya ya Mjini, Unguja.Alhaj Dk. Mwinyi amesema Serikali itaendelea kufanya kazi kwa bidii kuhakikisha inawasaidia wananchi wake kupunguza kero ya ongezeko la bei ya vyakula. Rais wa Zanzibar naREAD MORE
Translate »