• MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI

    MAKAMU WA RAIS: SERIKALI INATHAMINI MCHANGO WA MADHEHEBU YOTE YA DINI0

    Imeelezwa kuwa, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan inathamini mchango wa Madhehebu ya dini kupitia mahubiri na kufundisha neno la Mungu kwa watu wote.Hayo yamebainishwa na Waziri wa Madini, Dkt. Doto Biteko katika Maadhimisho ya Jubilee ya Miaka 75 ya Kanisa la Elimu Pentekoste Tanzania (KEPT) iliyofanyika

    READ MORE
  • RAIS SAMIA ACHANGIA UJENZI WA KANISA LA KKKT, CHAMWINO IKULU

    RAIS SAMIA ACHANGIA UJENZI WA KANISA LA KKKT, CHAMWINO IKULU0

    • Dini
    • September 20, 2022

    Na Mwandishi Wetu-Chamwino RAIS SAMIA SULUH HASSAN ametoa Tsh. Milioni 50 kwa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Chamwino Ikulu, kama ahadi ya mchango wake kwenye ujenzi unaoendelea wa Kanisa hilo.Akikabidhi Hati ya malipo hayo yaliyofanyika kwa njia ya Benki Mkuu wa mkoa wa Dodoma  Rosemary Senyamule  ambae alimwakilisha RAIS SAMIA SULUH

    READ MORE
  • ALHAJ DK.MWINYI SALA IJUMAA MASJID LOOTAH KIEMBE SAMAKI

    ALHAJ DK.MWINYI SALA IJUMAA MASJID LOOTAH KIEMBE SAMAKI0

    • Dini
    • September 9, 2022

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka wananchi kuendelea kudumisha amani iliopo ili  Serikali iweze kufikia malengo ya kuwaletea maendeleo. Alhaj Dk. Mwinyi amesema hayo katika salamu alizotoa kwa waumin walioshiriki Ibada ya sala ya ijumaa iliofanyika Masjid Lutta, Kiembesamaki Mkoa Mjini Magharibi. Amesema hivi sasa nchi

    READ MORE
  • WAKIRISTO KOTE NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA  BIDII

    WAKIRISTO KOTE NCHINI WATAKIWA KUFANYA KAZI KWA BIDII0

    Na Barnabas Kisengi-Mpwapwa Dodoma Wakristo wote hapa nchini wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kujiletea maendeleo na kuchangi pato la Taifa  na kutatua changamoto zilizo katika maeneo yao.Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu GEORGE SIMBACHAWENE amesema hayo  wakati akizunguma katika sherehe ya kumweka wafu Askofu wa  tatu wa Kanisa  la

    READ MORE
  • RAIS DK.MWINYI AONGOZA MAADHIMISHO YA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1444 HIJRIA

    RAIS DK.MWINYI AONGOZA MAADHIMISHO YA MWAKA MPYA WA KIISLAMU 1444 HIJRIA0

    RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali itatoa tamko kuifanya siku ya mwaka mpya wa kiislamu kuwa ya mapumziko. Aliyasema hayo jana katika kongamano la maadhimisho ya mwaka mpya wa kiislamu 1444, lililofanyika msikiti wa Jamiu Zinjibar, Mazizini. Aidha alisema, maadhimisho hayo yatafanyika kwa mzunguko  kati ya Unguja

    READ MORE
  • MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ASHIRIKI MISA TAKATIFU KATIKA KANISA KUU KATOLIKI LA BIKIRA MARIA KATAVI

    MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO ASHIRIKI MISA TAKATIFU KATIKA KANISA KUU KATOLIKI LA BIKIRA MARIA KATAVI0

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Philip Mpango akishiriki ibada ya misa takatifu  katika Kanisa kuu katoliki la Bikira Maria Mkingiwa Dhambi ya Asili Jimbo la Mpanda mkoani Katavi leo tarehe 24 Julai 2022. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa. Dkt. Philip Mpango akizungumza na waumini

    READ MORE
Translate »