Mbunge wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani Ridhiwani Kikwete ameelezea hatua alizochukua baada ya Madiwani katika kata tano za halmshauri ya chalinze kuiomba serikali kuwatafutia ufunbuzi wa kuwadhibiti tembo waliovamia katika baadhi ya vijiji vyao na hivyo kusababisha hali ya wasiwasi kwa wakazi wao kutokana na watu kupoteza maisha kwa kukanyagwa na tembo. Ridhiwani amesema
READ MOREMATUKIO ya ukatili wa kingono yameripotiwa kuongezeka wilayani Kilombero mkoani Morogoro ambapo kwa kipindi cha miezi mitatu kati ya Januari na Machi mwaka mwaka huu, jumla ya watoto 57 wamefanyiwa ukatili tofauti ikiwemo ulawiti, ubakaji na mimba za utotoni. Hayo yalibainishwa jana na ofisa ustawi wa jamii wa halmashauri ya Mlimba,
READ MORETaasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania [TAKUKURU]Wilaya ya Mpwapwa imefanikiwa kurejesha kiasi cha Tsh.milioni mbili ,laki nne na sabini na tano elfu [. 2,475,000/= ] kwa mzee mstaafu Benedict Mtihani alizodhurumiwa kutoka kwenye fedha zake za kiinua mgongo na kijana mmoja aliyekuwa akijihusisha na ukopeshaji wilayani humo bila kufuata utaratibu. Akizungumza na Jfivetv Mkuu wa TAKUKURU wilaya ya
READ MORENa Mwandishi Wetu Dodoma Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto anayeshughulikia masuala ya Maendeleo ya Jamii, Mwanaidi Ali Khamis ametoa wito kwa jamii kushirikiana katika malezi ya watoto wanaoishi katika mazingira magumu. Mhe. Mwanaidi akizungumza na watoto na walezi wa kijiji cha Matumani alipokitembelea leo jijini Dodoma amesema wadau wote
READ MORENA NYEMO MALECELA – KAGERA JAMII mkoani Kagera imetakiwa kuendeleza michezo ya asili ikiwamo majigambo ili kuwezesha kizazi cha sasa kufahamu asili na tamaduni zao. Akizungumza katika tamasha la majigambo maarufu kama ‘OKWEBUGA’ lililoandaliwa na serikali ya Mkoa wa Kagera kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa michezo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera, Profesa Faustine
READ MOREIKIWA leo ni Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani baadhi ya Wadau mbalimbali wa Habari wametoa maoni yao kuhusiana na siku hii huku wakitoa pongezi kwa waandishi wa habari kutokana na kazi ambazo wamekuwa wakifanya katika kuhabarisha Umma na kutoa wito kuendelea kufanya kazi kwa weledi na kuwa wazalendo kwa kutanguliza mbele maslahi
READ MORE