• WAKULIMA 15, 000 WANUFAIKA NA ELIMU YA KILIMO TOKA TAASISI YA DCT MKOANI DODOMA

    WAKULIMA 15, 000 WANUFAIKA NA ELIMU YA KILIMO TOKA TAASISI YA DCT MKOANI DODOMA0

    Ña Barnabas Kisengi-Dodoma Mradi wa kilimo hifadhi unaotekelezwa na Taasisi ya Huduma za maendeleo ya Dayosisi ya Central Tanganyika DCT umewanufaisha Wakulima takribani 15,000 wa Wilaya za Dodoma Mjini, Bahi na Wilaya ya Chamwino zilizopo Mkoani Dodoma baada ya kuwapa mafunzo wakulima  kuhusu umuhimu wa Kilimo hifadhi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Lister Nyang’anyi  amesema hayo 

    READ MORE
  • Kilimo hifadhi kuwa mkombozi Kwa wakulima Mkoani Dodoma

    Kilimo hifadhi kuwa mkombozi Kwa wakulima Mkoani Dodoma0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma Kutokana na kuwepo kwa mvua kidogo na mtawanyiko na uharibifu wa Mazingira jambo ambalo hupelekea wakulima katika Mkoa wa Dodoma kupata mazao kidogo Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT) Jijini dodoma imekuja na Mpango wa Kilimo hifadhi ili kuwanusuru wakulima wa Mkoa wa Dodoma kuweza kulima kwa kisasa na kupata mazao mengi na

    READ MORE
  • WAANDISHI WA HABARI WAPEWA  ELIMU YA KILIMO MAONESHO YA NANENANE

    WAANDISHI WA HABARI WAPEWA ELIMU YA KILIMO MAONESHO YA NANENANE0

    Na Barnabas Kisengi Dodoma Waandishi wa Habari Mkoani Dodoma wanetembelea Banda la Dayosisi ya Tanganyika (DCT) kupatiwa elimu ya kilimo cha mazao na mbogamboga ili kuweza kupata elimu ya kilimo biashara. Akizungumza na wanahabari hao Afisa Kilimo kutoka Dayosisi ya Tanganyika (DCT) Bi SALOME KIMAMBO ameseme kilimo wanachofundisha wakulima wengi ni kilimo biashara kwakuwa unakuwa

    READ MORE
Translate »