WAKULIMA MKOANI DODOMA WASHAURIWA KULIMA MAZAO YANAYOHIMILI UKAME
- Kilimo
- June 2, 2021
Ña Barnabas Kisengi-Dodoma Mradi wa kilimo hifadhi unaotekelezwa na Taasisi ya Huduma za maendeleo ya Dayosisi ya Central Tanganyika DCT umewanufaisha Wakulima takribani 15,000 wa Wilaya za Dodoma Mjini, Bahi na Wilaya ya Chamwino zilizopo Mkoani Dodoma baada ya kuwapa mafunzo wakulima kuhusu umuhimu wa Kilimo hifadhi. Mkurugenzi wa Taasisi hiyo, Lister Nyang’anyi amesema hayo
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Kutokana na kuwepo kwa mvua kidogo na mtawanyiko na uharibifu wa Mazingira jambo ambalo hupelekea wakulima katika Mkoa wa Dodoma kupata mazao kidogo Dayosisi ya Central Tanganyika (DCT) Jijini dodoma imekuja na Mpango wa Kilimo hifadhi ili kuwanusuru wakulima wa Mkoa wa Dodoma kuweza kulima kwa kisasa na kupata mazao mengi na
READ MORENa Barnabas Kisengi Dodoma Waandishi wa Habari Mkoani Dodoma wanetembelea Banda la Dayosisi ya Tanganyika (DCT) kupatiwa elimu ya kilimo cha mazao na mbogamboga ili kuweza kupata elimu ya kilimo biashara. Akizungumza na wanahabari hao Afisa Kilimo kutoka Dayosisi ya Tanganyika (DCT) Bi SALOME KIMAMBO ameseme kilimo wanachofundisha wakulima wengi ni kilimo biashara kwakuwa unakuwa
READ MOREWaziri Mkuu Kassim Majaliwa akitazama mche wa mgomba wakati alipotembelea banda la TAHA katika Maonyesho ya Wakulima Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya, Agosti 3, 2022. Kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Juma Homera na kushoto ni Bwana Shamba Kiongozi wa TAHA, Giliard Daniel. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) Waziri Mkuu,
READ MORENa Barnabas Kisengi , Dodoma Mkuu wa wilaya ya Dodoma Mjini JABIR SHEKIMWERI amewataka wananchi wa Wilaya ya Dodoma mjini kujitokeza kwa wingi katika maadhimisho ya sherehe za wakulima nanenane zitakazo fanyika jijini dodoma katika viwanja vya nane nane vilivyo nzuguni jijini Domama. SHEKIMWERI ameyasema hayo wakati akizungumza na JFIVE BLOG (jfivetv.com) katika mahojiano maalumu
READ MORESerikali kupitia Wizara ya Kilimo imekuja na mkakati wa kuhakikisha wanamfikia mkulima kwa wakati na kutatua changamoto zao kwa kuzindua kituo cha huduma kwa Wakulima (huduma kwa wateja) pamoja na namba maalum ya kupiga bure ili kusikilizwa changamoto hizo. Kitengo cha huduma kwa wakulima (huduma kwa wateja) itakuwa na jukumu kubwa la kutatua changamoto za
READ MORE