Na Barnabas Kisengi Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina hadi kufikia Juni 30 2022 imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.98Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2022, Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.98 sawa na asilimia 109.5 na kuvuka lengo la kutakiwa kukusanya shilingi bilioni 779.03 na
READ MORENa. Wellu Mtaki Pwani Jumuiya ya wafanyabiashara wa mkoa wa pwani yaiomba Benki ya NBC kuongeza vivutio Ili wafanyabiashara kujiunga na bank hiyo huku wafanyabiashara wa mkoa wa pwani wakiwahakikishia bank hiyo kuwa watakuwa na ushirikiano mkubwa kuazia sasa. Hayo yamezungumzwa na wafanyabiashara wakati wa warsha ya wafanyabiashara na bank ya NBC mkoani pwani iliyojumuisha
READ MOREÑa Angela Msimbira OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watuwenye Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako ameagiza Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha zinawatambua na kuendelea kutoa mikopo ya Vijana kupitia Mikopo ya asilimia kumi ili kuendeleza juhudi zilizoonyeshwa na wadau wa Maendeleo nchini.Amesema hayo Julai 27,2022 Jijini Dodoma
READ MORENa Barnabas Kisengi-Dodoma Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amewataka wafanyabiashara nchini kuchangamkia fursa zilizopo ili kuweza kukuza sekta hiyo ambayo inatoa ajira na kuchangia pato la Taifa.Akizungumza katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), baina ya sekta ya Umma na sekta binafsi uliofanyika jijini Dodoma.
READ MORE