• Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.98

    Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.980

    Na Barnabas Kisengi Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina hadi kufikia Juni 30 2022 imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.98Hadi kufikia tarehe 30 Juni 2022, Serikali kupitia Ofisi ya Msajili wa Hazina imefanikiwa kukusanya kiasi cha Shilingi bilioni 852.98 sawa na asilimia 109.5 na kuvuka lengo la kutakiwa kukusanya shilingi bilioni 779.03 na

    READ MORE
  • BENKI YA NBC YASHAURIWA KUONGEZA VITUO VYA HUDUMA ZA KIBENKI MKOANI PWANI

    BENKI YA NBC YASHAURIWA KUONGEZA VITUO VYA HUDUMA ZA KIBENKI MKOANI PWANI0

    Na. Wellu Mtaki  Pwani Jumuiya ya wafanyabiashara wa mkoa  wa pwani yaiomba Benki ya NBC kuongeza vivutio Ili wafanyabiashara kujiunga na bank hiyo huku  wafanyabiashara wa mkoa wa pwani wakiwahakikishia bank hiyo kuwa watakuwa  na ushirikiano mkubwa kuazia sasa. Hayo yamezungumzwa na wafanyabiashara wakati wa warsha ya wafanyabiashara na bank ya NBC  mkoani pwani iliyojumuisha

    READ MORE
  • WAZIRI MWIGULU ALITOLEA UFAFANUZI SUALA LA TOZO

    WAZIRI MWIGULU ALITOLEA UFAFANUZI SUALA LA TOZO0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Dkt Mwigulu Nchemba amesema  suala la kodi ya tozo halita hairishwa kwani zoezi hilo limekuja kuunganisha nguvu kutekeleza mahitaji ya lazima ambayo yalikuwa pengine yanakosa bajeti. Pia Serikali imewataka wananchi kuwa watulivu juu ya suala la tozo huku ikiwawashukuru wananchi hao kwa kutoa maoni yao  ya suala

    READ MORE
  • WAZIRI NDALICHAKO AAGIZA VIJANA KUTAMBULIWA KWENYE MIKOPO YA 10%

    WAZIRI NDALICHAKO AAGIZA VIJANA KUTAMBULIWA KWENYE MIKOPO YA 10%0

    Ña Angela Msimbira OR-TAMISEMI Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watuwenye  Ulemavu, Mhe. Prof. Joyce Ndalichako  ameagiza Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuhakikisha zinawatambua na kuendelea kutoa mikopo ya Vijana kupitia Mikopo ya asilimia kumi  ili kuendeleza juhudi zilizoonyeshwa na wadau wa Maendeleo nchini.Amesema hayo Julai 27,2022 Jijini Dodoma

    READ MORE
  • WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA

    WAZIRI MKUU AKABIDHI MIKOPO KWA VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI RUANGWA0

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa leo Julai 08, 2022 amekabidhi mikopo yenye jumla ya shilingi, 256,158,000 iliyotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa katika mwaka wa fedha 2021/2022 kwa vikundi 27 vyenye wanufaika 196. Kati ya vikundi hivyo vya wanawake ni 14 ambavyo vimepewa mkopo wa shilingi 36,126,000. Vikundi vinane vya vijana vilipata mkopo wa shilingi

    READ MORE
  • WAZIRI KIGAHE AWATAKA WAFANYABIASHIARA KUZALISHA AJIRA NCHINI

    WAZIRI KIGAHE AWATAKA WAFANYABIASHIARA KUZALISHA AJIRA NCHINI0

    Na Barnabas Kisengi-Dodoma Naibu Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Exaud Kigahe amewataka wafanyabiashara nchini kuchangamkia fursa zilizopo  ili kuweza kukuza sekta hiyo ambayo inatoa ajira na kuchangia pato la Taifa.Akizungumza katika mkutano mkuu wa mwaka wa Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo (TCCIA), baina ya sekta ya Umma na sekta binafsi uliofanyika  jijini Dodoma.

    READ MORE
Translate »