Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa wakati mwingine dini na siasa vinaendana lakini pia wakati mwingine ni vitu vivyokinzana ambapo amesisitiza kwamba vyote hivyo vinatakiwa kutazamwa kwa umakini. Rais Samia ametoa kauli hiyo leo Julai 8, 2021, mkoani Morogoro aliposhiriki Mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT),
READ MOREKuna siku nilipeleka koti langu la suti kwa fundi cherehani anirekebishie mfuko ulikuwa umefumuka.Mara jamaa akageuza koti kwa ndani na kisha akaanza kulifumua fumua badala ya kuushona mfuko wenyewe!!!Nikahamaki nikamwambia, “Mzee unapaswa kushona, sio kufumua halafu nina haraka ujue. Mbona ni kazi rahisi tu ya faster.” Lakini yeye alijibu tu, “NAJUA”. Hilo jibu lilinigusa na sikuweza
READ MORE