Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi katika eneo la Sanya Juu mara baada yakufungua rasmi sehemu ya barabara ya Bomang’ombe-Sanya Juu – Kamwanga ambapo sehemu iliyofunguliwa ni ya Sanya Juu- Selerai yenye kilomita 32.2 iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Ufunguzi huo umefanyia leo Oktoba 15, 2021 eneo la
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwahutubia wananchi katika eneo la Sanya Juu mara baada yakufungua rasmi sehemu ya barabara ya Bomang’ombe-Sanya Juu – Kamwanga ambapo sehemu iliyofunguliwa ni ya Sanya Juu- Selerai yenye kilomita 32.2 iliyojengwa kwa kiwango cha lami. Ufunguzi huo umefanyia leo Oktoba 15, 2021 eneo la Sanya Juu.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *