In Habari , Kimataifa , Kitaifa February 11, 2022 23 Views Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali walioalikwa na mwenyeji wao Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, mjini Brest katika mkutano unaojadili Raslimali Bahari Duniani leo tarehe 11 Februari, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Waziri wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali walioalikwa na mwenyeji wao Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa, mjini Brest katika mkutano unaojadili Raslimali Bahari Duniani leo tarehe 11 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudia Waziri wa Fedha na Mipango Mhe. Mwigulu Nchemba akiweka saini moja ya mikataba ya ushirikiano wa kimaendeleo katika Nyanja mbalimbali kati ya Tanzania na Ufaransa iliyowakilishwa na Waziri wake wa Biashara Frank Reicster katika mji wa Brest nchini Ufaransa leo tarehe 11 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassani akishuhudia utiaji saini wa mikataba ya ushirikiano katika sekta mbalimbali kati ya Tanzania na Ufaransa iliyosainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula pamoja na Waziri wa Biashara wa Ufaransa Frank Reicster katika mji wa Brest Nchini Ufaransa leo tarehe 11/2/2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassani akikagua kazi mbalimbali za ujezni wa vyombo vya usafiri wa majani ikiwemo Boti za uokoaji katika mji wa Brest Nchini Ufaransa leo tarehe 11/2/2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassani akikagua kazi mbalimbali za ujezni wa vyombo vya usafiri wa majani ikiwemo Boti za uokoaji katika mji wa Brest Nchini Ufaransa leo tarehe 11/2/2022.
Translate »
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *