FULL TIME: #NBCPL ๐น๐ฟ ๐๏ธ Benjamin Mkapa YANGA SC 0-0 TZ PRISONS Mwisho wa dakika 90 katika dimba la Benjamin Mkapa, milango ya pande zote imekuwa imara, sio Wananchi wala Maafande wa Jeshi la magereza walioona lango la mwingine. Yanga SC ilipata nafasi nyingi za kupata goli la uongozi lakini hawakutumia nafasi hizo vyema. Kulikuwa
FULL TIME: #NBCPL ๐น๐ฟ
๐๏ธ Benjamin Mkapa
YANGA SC 0-0 TZ PRISONS
Mwisho wa dakika 90 katika dimba la Benjamin Mkapa, milango ya pande zote imekuwa imara, sio Wananchi wala Maafande wa Jeshi la magereza walioona lango la mwingine.
Yanga SC ilipata nafasi nyingi za kupata goli la uongozi lakini hawakutumia nafasi hizo vyema.
Kulikuwa na mkanganyiko kidogo juu ya upigaji wa penalti, Saido Ntibanzonkiza akionekana kumnyima mpigaji namba moja Djuma Shabani na kumkabidhi Mayele aliyekosa penalti hiyo.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *