Simba SC Imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania.

Simba SC Imekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania.

Leo tumekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania ambayo imetolewa na kampuni ya Serengeti Bytes. Tumeshinda tuzo hii baada ya kuvishinda kura vilabu vya Azam FC, Mbeya City, Ruvu Shooting na Yanga SC.

May be an image of 2 people, people standing and indoor
May be an image of 2 people, people standing and indoor
May be an image of 1 person, standing and indoor
May be an image of 1 person and standing
May be an image of 1 person and standing
May be an image of 6 people, people standing and indoor

Leo tumekabidhiwa Tuzo ya Klabu Bora kwenye Mitandao ya Kijamii Tanzania ambayo imetolewa na kampuni ya Serengeti Bytes. Tumeshinda tuzo hii baada ya kuvishinda kura vilabu vya Azam FC, Mbeya City, Ruvu Shooting na Yanga SC.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »