Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Sc Barbara Gonzalez akiongozana na msanifu majengo (architect) wamekagua mipaka ya eneo la Simba,Bunju jijini Dar es salaam ambalo litatumika kwenye ujenzi wa kiwanja Mo simba arena studium, zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Bodi ya Wakurugenzi kukutana ili kupitisha mkandarasi ambaye atajenga.
Mtendaji Mkuu wa klabu ya Simba Sc Barbara Gonzalez akiongozana na msanifu majengo (architect) wamekagua mipaka ya eneo la Simba,Bunju jijini Dar es salaam ambalo litatumika kwenye ujenzi wa kiwanja Mo simba arena studium, zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Bodi ya Wakurugenzi kukutana ili kupitisha mkandarasi ambaye atajenga.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *