Zoezi la wananchi wa tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha ambao wamejiandikisha kuhama kwa hiari kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kuunga mkono juhudi za Serikali kuhifadhi eneo hilo kwa kuhamia Msomera, wilayani Handeni mkoani Tanga limeanza leo Juni 15, 2022.
Zoezi la wananchi wa tarafa ya Ngorongoro mkoani Arusha ambao wamejiandikisha kuhama kwa hiari kutoka katika eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ili kuunga mkono juhudi za Serikali kuhifadhi eneo hilo kwa kuhamia Msomera, wilayani Handeni mkoani Tanga limeanza leo Juni 15, 2022.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *