Klabu ya Yanga SC imekabidhiwa kombe la Ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2021-22 katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City. Yanga imetwa kombe hilo kwa mara ya 28 katika historia ya klabu hiyo.
Klabu ya Yanga SC imekabidhiwa kombe la Ligi kuu ya NBC Tanzania bara kwa msimu wa 2021-22 katika uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Mbeya City.
Yanga imetwa kombe hilo kwa mara ya 28 katika historia ya klabu hiyo.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *