Na Barnabas Kisengi-DODOMA Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema katika kipindi cha Mwaka Mmoja wa Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Billion kumi kwa Halmashauri ya Mpwapwa kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo Waziri Simbachawene ambaye pia
Na Barnabas Kisengi-DODOMA
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. George Simbachawene amesema katika kipindi cha Mwaka Mmoja wa Serikali ya Awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Samia Suluhu Hassan imetoa shilingi Billion kumi kwa Halmashauri ya Mpwapwa kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo
Waziri Simbachawene ambaye pia ni Mbunge wa Kibakwe amebainisha hayo wakati akihutubia wananchi wa Jimbo la Kibakwe wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Aidha,Simbachawene amewapongeza wananchi wa Kibakwe kwa kujikita zaidi shuguli za maendeleo huku akiwahakikishia kwamba Jokofu kwa ajili ya Kuhifadhi maiti lipo, katika gharama za ujenzi wa kituo cha Afya kibakwe.
Naye Diwani wa Kata ya Kibakwe Mhe David Atanas amepongeza jitihada zinazofanywa na Mbunge wa jimbo la kibakwe katika kuletea wananchi maendeleo, amesema kibwakwe imepata million 500 kwa ajili ya ujenzi miundo mbinu ya maji. Katika jimbo la kibakwe ujenzi wa barabara kwa umbali wa kilometa moja.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *