Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa amesimama pamoja na Rais wa Malawi, Mhe. Dkt. Lazarus McCarthy Chakwera wakati wa Wimbo wa Taifa wa Tanzania ukiimbwa mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kamuzu, Lilongwe - Malawi Julai 5, 2023.