Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akiweka Jiwe la Msingi Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) cha Wilaya ya Igunga mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua moja ya vyumba vya madarasa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa pamoja na viongozi wengine wakati akiweka Jiwe la Msingi Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) cha Wilaya ya Igunga mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikagua moja ya vyumba vya madarasa ya Chuo cha VETA cha Wilaya ya Igunga mkoani Tabora tarehe 17 Oktoba, 2023.
Muonekano wa Majengo ya Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Igunga Mkoani Tabora yaliyowekewa Jiwe la Msingi na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 17 Oktoba, 2023.