Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023. Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Pindi Chana, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023.
Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa akizungumza na Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Kingu, bungeni jijini Dodoma, Novemba 3, 2023.