IDARA YA UHAMIAJI KIGOMA,IMEWAKAMATA WAHAMIAJI 52 NA WATANZANIA 3 WALIOWAHIFADHI WAHAMAIAJI HAO.

IDARA YA UHAMIAJI KIGOMA,IMEWAKAMATA WAHAMIAJI 52 NA WATANZANIA 3 WALIOWAHIFADHI  WAHAMAIAJI HAO.

Idara ya uhamiaji mkoa wa Kigoma imewakamata raia wa kigeni 52 kutoka nchi ya Burundi na jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo walioingia nchini bila vibali pamoja  na kuwakamata watanzania 3 waliokuwa wakijihusisha na kuwatumikisha baadhi ya raia hao. Miongoni mwa waliokamatwa wapo wakimbizi 12 waliotoroka katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilaya ya Kasulu. Akizungumzia hatua

WAGAMIAJI PIC

Idara ya uhamiaji mkoa wa Kigoma imewakamata raia wa kigeni 52 kutoka nchi ya Burundi na jamuhuri ya kidemokrasia ya kongo walioingia nchini bila vibali pamoja  na kuwakamata watanzania 3 waliokuwa wakijihusisha na kuwatumikisha baadhi ya raia hao.

Miongoni mwa waliokamatwa wapo wakimbizi 12 waliotoroka katika kambi ya Nyarugusu iliyoko wilaya ya Kasulu.

Akizungumzia hatua hiyo kaimu ofisa uhamiaji mkoa wa Kigoma Kamishna msaidizi wa uhamiaji Augustino Matheo amesema mnamo  February 05 na 06  msako ulifanyika katika maeneo mbalimbali mkoani Kigoma nakufanikiwa kukamata raia 43 kutoka nchi ya Burundi kati yao wakiwemo wakimbizi 3 na raia 9 kutoka nchi ya kidemokrasia ya Kongo ambao ni wakimbizi kutoka kambi ya Nyarugusu.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »