Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira Mh. Ummy Mwalimu anakutana na wachimbaji wa mchanga na wamiliki wa maroli kesho tarehe 08/02/2021 kujadili mwongozo wa uchimbaji wa mchanga kwenye mito na mabonde.
Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa rais muungano na mazingira Mh. Ummy Mwalimu anakutana na wachimbaji wa mchanga na wamiliki wa maroli kesho tarehe 08/02/2021 kujadili mwongozo wa uchimbaji wa mchanga kwenye mito na mabonde.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *