Mwanasiasa Mkongwe Baraka Mohamed Shamte amempongeza Rais Dkt Mwinyi kwa kuchukua hatua mbalimbali ndani ya siku 100 za uongozi wake.

Mwanasiasa Mkongwe  Baraka Mohamed  Shamte amempongeza Rais Dkt Mwinyi kwa kuchukua hatua mbalimbali ndani ya siku 100 za uongozi wake.

Mwanasiasa Mkongwe  Baraka Mohamed  shamte amesema Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt Huseein Ali Mwinyi atashinda vita ya kupigania maendeleo na kujenga uchumi imara. Pia amemtaja kiongozi huyo amezitumia vyema siku mia moja  huku serikali yake ikisaini mikataba mikubwa ya kiuchumi . Hayo yameelezwa na Mwanasiasa huyo mashuhuri akimtaja Rais Dkt  Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt Huseein Ali Mwinyi.

Mwanasiasa Mkongwe  Baraka Mohamed  shamte amesema Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti  wa Baraza la Mapinduzi Dkt Huseein Ali Mwinyi atashinda vita ya kupigania maendeleo na kujenga uchumi imara.

Pia amemtaja kiongozi huyo amezitumia vyema siku mia moja  huku serikali yake ikisaini mikataba mikubwa ya kiuchumi . Hayo yameelezwa na Mwanasiasa huyo mashuhuri akimtaja Rais Dkt  Mwinyi ni kiongozi kijana ,mwenye fikra mpya aliyejengea matumaini chanya 

Shamte amesema tokea wakati wa kampeni amekuwa akisema  amejitolea kwa dhati yake kuivusha nchi na watu  wote na hataongoza kwa upendeleo  wowote.

Amesema kazi ya kuleta mabadiliko ni kama mapambano vitani hivyo Dkt Mwinyi  ataibuka mshindi kwenye uwanja wa mapambano hayo 

Shamte amesema amejenga matumaini kwa kutimiza ahadi zake na kuwa kiungo katika jamii na kukusanya kwa  bilioni 4  mwezi Disemba mwaka uliopita  kwa tofauti ya bilioni  mbili zilizokuwa zikikusanywa kwa mwaka ni mafanikio makubwa.

Aidha amesifu hatua za kuanzishwa kwa mahakama ya udhalilishaji akisema vitendo viovu vilikithiri na sasa imepatilkana  tiba yake na kumpongeza kwa kuendeleza maridhiano ya kisiasa, kudumisha umoja, amani na mshikamano wa kitaifa.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »