Wachakataji wa dagaa wa mwalo wa Kimoyomoyo Ilamba mkoani Kagera wanakabiliwa na uhaba wa masoko.

Wachakataji wa dagaa wa mwalo wa Kimoyomoyo Ilamba mkoani Kagera wanakabiliwa na uhaba wa masoko.

Wachakataji wa dagaa wa mwalo wa Kimoyomoyo kijiji cha Ilamba wilayani Muleba mkoani Kagera wanakabiliwa na uhaba wa masoko ya zao hilo hali inayowasababisha dagaa kuharibika. Wachakataji hao wameiomba serikali kuwawezesha kupata elimu ya ujasiriamali, vifungashio na mashine za kukaushia dagaa. NA NYEMO MALECELA, KAGERA.

Mwalo wa Kimoyomoyo Mkoani Kagera.
Namna zinzvyoanikwa dagaa.
NAIMA YUSUPH – Mkazi wa Kisiwa Kimoyomoyo mfanyabiashara.
ISSA JIWE – Mfanayabiashara Mkazi wa Muleba
Dagaa za kubanikwa.
ISAYA  TENDEGA – Kaimu Katibu Tawala Uchumi na Uzalishaji Mkoa wa Kagera.
EFRAZI MKAMA – Afisa Uvuvi Mkoa Kagera


 


Wachakataji wa dagaa wa mwalo wa Kimoyomoyo kijiji cha Ilamba wilayani Muleba mkoani Kagera wanakabiliwa na uhaba wa masoko ya zao hilo hali inayowasababisha dagaa kuharibika.

Wachakataji hao wameiomba serikali kuwawezesha kupata elimu ya ujasiriamali, vifungashio na mashine za kukaushia dagaa.

NA NYEMO MALECELA, KAGERA.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »