Wananchi wa mtaa wa Mgumile kata ya Kagera manispaa ya Kigoma Ujiji wameeleza kukabiliwa na adha ya kukosa huduma za afya karibu hivyo kulazimika kuifuata mbali huku hali hiyo ikitajwa kuwaathiiri zaidi wajawazito ambao hulazimika kubebwa kwenye machela kupelekwa kufuata huduma ambayo imekuwa ikihatarisha usalama wao Adha hiyo inalikabili eneo la mtaa wa Mgumile lenye
Wananchi wa mtaa wa Mgumile kata ya Kagera manispaa ya Kigoma Ujiji wameeleza kukabiliwa na adha ya kukosa huduma za afya karibu hivyo kulazimika kuifuata mbali huku hali hiyo ikitajwa kuwaathiiri zaidi wajawazito ambao hulazimika kubebwa kwenye machela kupelekwa kufuata huduma ambayo imekuwa ikihatarisha usalama wao
Adha hiyo inalikabili eneo la mtaa wa Mgumile lenye wakazi zaidi ya 2000 ambalo wananchi wake wanaeleza halina duka la dawa muhimu ,zahanati wala kituo cha afya hali hiyo wameeleza imekuwa ikiwasababisha wajawazito pindi wanapo patwa na uchungu majira ya usiku.
Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji Mwailwa Pangani ya utatuzi wa suala hilo amesema.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *