VIJANA 40 kutoka Kata 15 za Halmashauri ya Jiji la Mbeya, wamepata maarifa ya kuongeza thamani ya bidhaa.

VIJANA 40 kutoka Kata 15 za Halmashauri ya  Jiji la Mbeya, wamepata maarifa ya kuongeza thamani ya bidhaa.

VIJANA 40 kutoka Kata 15 za Halmashauri ya  Jiji la Mbeya, wamenufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi ikiwemo kupata maarifa ya kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha  kupitia   mradi unaoendeshwa na Shirika la Starve for Helping Other  People  (SHOP) kwa ufadhili  wa Foundation for Civil Society . Mradi huo umewasaidia vijana  kuzalisha bidhaa zenye viwango ambazo

Yusuph Simbay, Afisa Ufuatiliaji kutoka  Shop.
Amina Mwakalobo- Afisa Ufuatiliaji Shop.
Washiriki.

VIJANA 40 kutoka Kata 15 za Halmashauri ya  Jiji la Mbeya, wamenufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi ikiwemo kupata maarifa ya kuongeza thamani ya bidhaa wanazozalisha  kupitia   mradi unaoendeshwa na Shirika la Starve for Helping Other  People  (SHOP) kwa ufadhili  wa Foundation for Civil Society .

Mradi huo umewasaidia vijana  kuzalisha bidhaa zenye viwango ambazo zinakidhi vigezo kwenye soko la ushindani.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Translate »