Samia Suluhu Hassan ataapishwa Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli. Hafla ya uapisho itafanyika Ikulu, Dar es Salaam, saa 4 asubuhi. Mama Samia atakuwa Rais wa sita wa Tanzania.
Samia Suluhu Hassan ataapishwa Machi 19, 2021 kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Dkt. John Joseph Pombe Magufuli. Hafla ya uapisho itafanyika Ikulu, Dar es Salaam, saa 4 asubuhi.
Mama Samia atakuwa Rais wa sita wa Tanzania.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *