Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Pwani Samaha Said ameutaka uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Kisarawe kuwasaidia kikundi cha vijana wa ukusanyaji wa taka majumbani ili waweze kuendeleza biashara yao na waweze kurejesha deni la mkopo milioni 7.5 walizokopa halmashauri hiyo. Amesema hayo akiwa ameongozana na wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Pwani Samaha Said ameutaka uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Kisarawe kuwasaidia kikundi cha vijana wa ukusanyaji wa taka majumbani ili waweze kuendeleza biashara yao na waweze kurejesha deni la mkopo milioni 7.5 walizokopa halmashauri hiyo.
Amesema hayo akiwa ameongozana na wajumbe wa kamati ya utekelezaji ya UVCCM Mkoa wa Pwani wakati alipotembelea kukagua maendeleo ya miradi huo ambao umewezeshwa kwa fedha za halmashauri kwa lengo la kujiajiri waondokane na umaskini.
Na Scolastica Msewa, Kisarawe.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *