Klabu ya Yanga inaendelea kujikita kileleni mwa ligi kuu bara baada ya kufanikiwa kupata usbindi wa goli 2-1 dhidi ya maafande wa Tamzania Prisons. Prisons walikuwa wakanza kupata goli kupitia kwa Samson Mbagula dakika ya 12, dakika ya 23 Feisal Salim alirudisha goli dakika ya 23 huku Khalid Aucho akifunga goli la ushindi goli la
Klabu ya Yanga inaendelea kujikita kileleni mwa ligi kuu bara baada ya kufanikiwa kupata usbindi wa goli 2-1 dhidi ya maafande wa Tamzania Prisons.
Prisons walikuwa wakanza kupata goli kupitia kwa Samson Mbagula dakika ya 12, dakika ya 23 Feisal Salim alirudisha goli dakika ya 23 huku Khalid Aucho akifunga goli la ushindi goli la 43.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *