RASMI YANGA YAACHANA NA KABWILI

RASMI YANGA YAACHANA NA KABWILI

Golikipa namba mbili wa Yanga, Ramadhani Kabwili ameachwa rasmi na klabu ya Yanga. Taarifa za ndani zinaeleza kuwa juzi Desemba 19, 2021, Kabwili alipewa barua ya kwaheri na Yanga na kumtakia kila la kheri hivyo sasa yupo huru kujiunga na timu nyingine yoyote. Uongozi wa klabu ya Yanga unatekeleza ripoti ya kocha Nabi ambaye ameutaka

Golikipa namba mbili wa Yanga, Ramadhani Kabwili ameachwa rasmi na klabu ya Yanga.

Taarifa za ndani zinaeleza kuwa juzi Desemba 19, 2021, Kabwili alipewa barua ya kwaheri na Yanga na kumtakia kila la kheri hivyo sasa yupo huru kujiunga na timu nyingine yoyote.

Uongozi wa klabu ya Yanga unatekeleza ripoti ya kocha Nabi ambaye ameutaka uongozi kusajili wachezaji 5 wa nguvu na sasa wameanza mpango wa kumsajili Mohamed Makaka wa Ruvu Shooting kuchukua nafasi ya Kabwili.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »