WANANCHI DODOMA WAELEZEA MATUMAINI YA KUUPOKEA MWAKA2022 HUKU WAKISEMA HAWATAUSAHAU MWAKA JANA KWA KUMPOTEZA HAYATI MAGUFULI.

WANANCHI DODOMA WAELEZEA MATUMAINI YA KUUPOKEA MWAKA2022 HUKU WAKISEMA HAWATAUSAHAU MWAKA JANA  KWA KUMPOTEZA HAYATI  MAGUFULI.

Dodoma Baadhi ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Dodoma wamesema mwaka 2021 umekuwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kupanda kwa bei za bidhaa hali ambayo imesababisha ukali wa maisha  huku wakisema hawatausahau mwaka huo kutokana na kuondokewa na kiongozi mkubwa wa nchi,Hayati John Pombe Magufuli  aliyekuwa Rais wa Tanzania huku wakielezea matumaini yao ya kuupokea mwaka

Dodoma

Baadhi ya Wananchi kutoka maeneo mbalimbali mkoani Dodoma wamesema mwaka 2021 umekuwa na changamoto mbalimbali ikiwemo kupanda kwa bei za bidhaa hali ambayo imesababisha ukali wa maisha  huku wakisema hawatausahau mwaka huo kutokana na kuondokewa na kiongozi mkubwa wa nchi,Hayati John Pombe Magufuli  aliyekuwa Rais wa Tanzania huku wakielezea matumaini yao ya kuupokea mwaka mpya 2022 .

Wakizungumza na Kituo hiki kwa nyakati tofauti baadhi ya wananchi hao wamesema mambo mengi yametokea mwaka 2021 yakiwemo mazuri pamoja na changamoto hivyo mwaka mpya 2022 ni mwaka wa kujitafakari na kujisahihisha katika kukabiliana na changamoto za maisha  huku wakisema hawatausahau mwaka 2021 kwa kumpoteza Hayati John Pombe Magufuli.

Nao baadhi ya Viongozi wa dini akiwemo Mkuu wa Idara ya vijana  baraza kuu la Waislam  Tanzania [BAKWATA] Sheikh Omary Salim  ambaye pia ni sheikh wa msikiti wa Dar Mustapha Chang’ombe  Dodoma  pamoja na  kiongozi wa kanisa la Baptist Tanzania ,Makole Dodoma Mchungaji Anthony  Mlyashimba  wakatoa wakampongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa jitihada anazofanya huku wakitoa ushauri kwa mwaka mpya 2022.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »