Club ya Yanga imetangaza kuwa Kiungo wao Tonombe Mukoko kutokea Congo DR anaondoka na kujiunga na TP Mazembe ya kwao Congo, Yanga hawajaweka wazi Mukoko kama ameenda kwa mkopo au ameuzwa jumla ila taarifa zilizopo alikuwa na mkataba wa miezi sita na Yanga.
Club ya Yanga imetangaza kuwa Kiungo wao Tonombe Mukoko kutokea Congo DR anaondoka na kujiunga na TP Mazembe ya kwao Congo, Yanga hawajaweka wazi Mukoko kama ameenda kwa mkopo au ameuzwa jumla ila taarifa zilizopo alikuwa na mkataba wa miezi sita na Yanga.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *