In Biashara , Habari , Kimataifa , Kitaifa February 15, 2022 62 Views ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron tarehe 14 Februari, 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron
ais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa kwa ajili ya mazungumzo na Rais wa nchi hiyo Emmanuel Macron tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya kuwasili katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongoza Ujumbe wa Tanzania katika mazungumzo baina ya pande mbili na Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron ambaye aliongoza Ujumbe wa nchi hiyo katika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiagana na mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika Ikulu ya Elysée, Paris nchini Ufaransa leo tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Mhe. Aundrey Axoulay wakati alipotembelea Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya Wageni alipowasili katika Ofisi za Makao Makuu ya UNESCO Jijini Paris nchini Ufaransa tarehe 14 Februari, 2022. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa UNESCO Mhe. Aundrey Axoulay.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wawakilishi wa Shirikisho la Wafanya Biashara wa nchini Ufaransa (MEDEF) Jijini Paris tarehe 14 Februari, 2022.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wawakilishi wa Shirikisho la Wafanya Biashara wa nchini Ufaransa (MEDEF) Jijini Paris tarehe 14 Februari, 2022.
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Bungeni , Habari April 25, 2024
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Bungeni , Habari April 24, 2024
Translate »
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *