SIMBA, YANGA KUANZA NA HAWA KLABU BINGWA AFRIKA

SIMBA, YANGA KUANZA NA HAWA KLABU BINGWA AFRIKA

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga watacheza mchezo wao wa awali kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Zalan FC ya Sudan Kusini. Mshindi wa mchezo huo atacheza na mshindi kati ya St. George dhidi ya Al Hilal ya Sudan. Simba SC itacheza mchezo wake wa awali wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga watacheza mchezo wao wa awali kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Zalan FC ya Sudan Kusini.

Mshindi wa mchezo huo atacheza na mshindi kati ya St. George dhidi ya Al Hilal ya Sudan.

Simba SC itacheza mchezo wake wa awali wa Klabu Bingwa Afrika dhidi ya Big Bullets ya Malawi.

Mshindi kati ya timu hizo atakutana na mshindi wa mchezo kati ya Red Arrows ya Zambia na CD 1 De Agosto ya Angola.

@simbasctanzania @yangasc
@hajismanara
@ahmedally_

JfiveSports

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »