Spika Dkt.Tulia amezungumza na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhamasishaji Duniani wa UNICEF.

Spika Dkt.Tulia amezungumza na Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhamasishaji Duniani wa UNICEF.

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Ndg. Naysan Sahba, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhamasishaji Duniani wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo Mei 3, 2023. Pamoja na mambo mengine, Mhe. Spika na mgeni

Inaweza kuwa picha ya Watu 2
Inaweza kuwa picha ya Watu 2
Inaweza kuwa picha ya Watu 4
Inaweza kuwa picha ya Watu 3, jukwaa na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 5, jukwaa na maandishi
Inaweza kuwa picha ya Watu 8

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Ndg. Naysan Sahba, Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uhamasishaji Duniani wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) alipomtembelea Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma leo Mei 3, 2023.

Pamoja na mambo mengine, Mhe. Spika na mgeni wake wamejadili namna bora ya kushirikiana katika kuelimisha jamii kuhusu madhara ya mimba na ndoa za utotoni.

Aidha katika ziara hiyo Ndg. Sahba aliambatana na Bi.Shalini Bahuguna Mwakilishi Mkazi wa UNICEF -Tanzania na Bi. Angela Travis, Mshauri wa Mawasiliano wa shirika hilo katika Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »