Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wamejumuika na Viongozi mbali mbali,Wanafamilia, wananchi na wanakijiji wa Chwaka katika Mazishi ya Marehemu Bwana Simai Msaraka Pinja aliezikwa Kijijini kwao Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja. Marehemu Simai Msaraka
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhajj Dkt. Hussein Ali Mwinyi na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla wamejumuika na Viongozi mbali mbali,Wanafamilia, wananchi na wanakijiji wa Chwaka katika Mazishi ya Marehemu Bwana Simai Msaraka Pinja aliezikwa Kijijini kwao Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja.
Marehemu Simai Msaraka Pinja katika uhai wake amewahi kulitumikia Jeshi la wananchi la Tanzania kwa nyadhifa mbali mbali. pia amewahi kuwa Sheha wa Shehia ya Chwaka.
Marehemu ameacha Vizuka watatu (03) na watoto Kumi na Tatu (13).
Innaa Lillaahi wainnaa Ilaihi Raajiun.
Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)13 Mei, 2023
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *