Yanga imetangaza uamuzi wa kuachana na Nasreddine Nabi ambaye amemaliza Mkataba wake na kuamua kuondoka Baada ya kumalizika kwa Mkataba huo, Uongozi wa Yanga ulikutana na Nabi kwa ajili ya mazungumzo ya kusaini Mkataba mpya, lakini aliomba kuondoka ili akapate changamoto mpya Zaidi fuatilia kwenye video hapa chini👇👇
Yanga imetangaza uamuzi wa kuachana na Nasreddine Nabi ambaye amemaliza Mkataba wake na kuamua kuondoka
Baada ya kumalizika kwa Mkataba huo, Uongozi wa Yanga ulikutana na Nabi kwa ajili ya mazungumzo ya kusaini Mkataba mpya, lakini aliomba kuondoka ili akapate changamoto mpya
Zaidi fuatilia kwenye video hapa chini👇👇
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *