SIMBA WABABE WA YANGA NGAO YA JAMII

SIMBA WABABE WA YANGA NGAO YA JAMII

Ushindi huo umepatikana kwa njia ya penati 3-1 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 90 za mchezo wa kuikaribisha Ligi Kuu Bara Msimu wa 2023/2024 uliopigwa kwenye Uwanja wa #Mkwakwani, #TangaWaliofunga penati upande wa #Simba ni Muzamiru Yassin, Willy Onana na Jean Baleke, waliokosa ni Saidi Ntibazonkiza na Moses Phiri Aliyefunga upande wa #Yanga

Ushindi huo umepatikana kwa njia ya penati 3-1 baada ya matokeo ya 0-0 katika dakika 90 za mchezo wa kuikaribisha Ligi Kuu Bara Msimu wa 2023/2024 uliopigwa kwenye Uwanja wa #Mkwakwani, #TangaWaliofunga penati upande wa #Simba ni Muzamiru Yassin, Willy Onana na Jean Baleke, waliokosa ni Saidi Ntibazonkiza na Moses Phiri Aliyefunga upande wa #Yanga ni Azizi Ki, wakati waliokosa ni Khalid Aucho, Pacome Zouzoua na Yao Kuoassi Attoula ambao penati zao zote ziliishia mikononi mwa kipa wa Simba, Ally Salim

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »