Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali kwenye hafla ya utiaji saini uwekezaji na uendeshaji wa sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 22 Oktoba, 2023.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi pamoja na wageni mbalimbali kwenye hafla ya utiaji saini uwekezaji na uendeshaji wa sehemu ya Bandari ya Dar es Salaam iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 22 Oktoba, 2023.