Na Barnabas kisengi Dodoma February 16 2021 Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Faustine Ndugulile amefanya mazungumzo na katibu mkuu wa umoja Posta Afrika lengo ni namna ya kuendelea kuimarisha sekta ya Akizungumza leo Februari 16,2021 jijini Dodoma Dkt.Ndugulile amebainisha kuwa hiyo ni katika kuboresha sekta ya Mawasiliano na sura mpya ya utendaji wa shirika la posta Tanzania. Waziri wa
Na Barnabas kisengi Dodoma
February 16 2021
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Faustine Ndugulile amefanya mazungumzo na katibu mkuu wa umoja Posta Afrika lengo ni namna ya kuendelea kuimarisha sekta ya
Akizungumza leo Februari 16,2021 jijini Dodoma Dkt.Ndugulile amebainisha kuwa hiyo ni katika kuboresha sekta ya Mawasiliano na sura mpya ya utendaji wa shirika la posta Tanzania.
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Dkt.Faustine Ndugulile anabainisha mradi wa ujenzi wa makao makuu ya Umoja wa posta Afrika yaliyopo Jijini Arusha.
Kwa upande wake Katibu mkuu wa Umoja wa Posta Afrika Younouss Djibrine anaeleza kufurahishwa kwake na kasi ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais Dkt.John Pombe Magufuli katika kusukuma gurudumu la maendeleo kupitia Sera ya hapa kazi tu .
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *