Tanzania na Burundi zimejadili namna zinavyoweza kushirikiana katika sekta ya madini.

Tanzania na Burundi zimejadili namna zinavyoweza kushirikiana katika sekta ya madini.

Serikali ya Tanzania na Burundi zimekutana mkoani Kigoma kujadili namna  nchi hizo mbili zinavyoweza kushirikiana katika sekta ya madini ili kukuza uchumi wa nchi kwa pamoja kupitia rasilimali hiyo . Kikao hicho kimehusisha balozi wa Tanzania nchini Burundi Dr Jilly Maleko na Balozi mdogo wa Burundi nchini Tanzania Kabura Cyriaque pamoja na watalamu wa madini

See the source image

Serikali ya Tanzania na Burundi zimekutana mkoani Kigoma kujadili namna  nchi hizo mbili zinavyoweza kushirikiana katika sekta ya madini ili kukuza uchumi wa nchi kwa pamoja kupitia rasilimali hiyo .

Kikao hicho kimehusisha balozi wa Tanzania nchini Burundi Dr Jilly Maleko na Balozi mdogo wa Burundi nchini Tanzania Kabura Cyriaque pamoja na watalamu wa madini wa pande zote mbili ambapo unalenga kuja na makubaliano ya pamoja ya jinsi nchi hizi zitakavyotumia rasilimali ya madini .

DR JILLY MALEKO,Balozi wa Tanzania nchini Burundi.
KABURA CYRIAQUE ,Balozi mdogo wa Burundi nchini Tanzania.

Akiongea kwa niaba ya mkuu wa mkoa wa Kigoma ,kaimu katibu tawala mipango na uratibu Samuel Tenga amesema hatua hiyo itatoa fursa ya kibiashara na ajira kwa wananchi.

Jfive Team
ADMINISTRATOR
PROFILE

Posts Carousel

Leave a Comment

Your email address will not be published. Required fields are marked with *

Latest Posts

Top Authors

Most Commented

Featured Videos

Translate »