WABUNGE wa majimbo ya mkoani Kagera wadai ufinyu wa bajeti wa Mamlaka ya Barabara vijijini (Tarura) umesababisha kushindwa kutekeleza majukumu wake kwa ufasaha. Wabunge hao wameiomba serikali kubuni vyanzo vingine zya mapato vitakavyoiongezea Tarura fedha za kuongeza mtandano wa barabara. NA NYEMO MALECELA – KAGERA
WABUNGE wa majimbo ya mkoani Kagera wadai ufinyu wa bajeti wa Mamlaka ya Barabara vijijini (Tarura) umesababisha kushindwa kutekeleza majukumu wake kwa ufasaha.
Wabunge hao wameiomba serikali kubuni vyanzo vingine zya mapato vitakavyoiongezea Tarura fedha za kuongeza mtandano wa barabara.
NA NYEMO MALECELA – KAGERA
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *