Klabu ya Simba imeutaarifu Umma kuwa Imepeleka barua Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika kuomba uchunguzi kuhusu Klabu ya Al-Merrikh ya Sudan kuwachezesha wachezaji waliofungiwa.
Klabu ya Simba imeutaarifu Umma kuwa Imepeleka barua Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika kuomba uchunguzi kuhusu Klabu ya Al-Merrikh ya Sudan kuwachezesha wachezaji waliofungiwa.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *