In Siasa April 23, 2021 24 Views Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Bunge kutoa mwelekeo wa Serikali ya Awamu ya Sita Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 Jijini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia Bunge kutoa mwelekeo wa Serikali ya Awamu ya Sita Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (Katikati)akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi mara baada ya kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma. Wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mhe. Ali Hassan Mwinyi, wa pili kushoti ni Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, wa kwanza Kushoto ni Makamu wa Rais Mhe. Dkt. Philip Mpango na wa kwanza kulia ni Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt Hussein Mwinyi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (wa tatu kulia walioketi) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya viongozi wa Ulinzi na Usalama mara baada ya kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (Kulia) mara baada ya kulihutubia Bunge Aprili 22, 2021 Jijini Dodoma.
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Bungeni , Habari April 25, 2024
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Habari , Kitaifa April 25, 2024
Bungeni , Habari April 24, 2024
Translate »
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *