Ikiwa Leo ni Sikukuu ya Eid Mubarak, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Abubakar Kunenge amesema Vyombo vya usalama vimejipanga kuhakikisha Wananchi wanasherekea kwa amani na utulivu. RC Kunenge ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha watoto wanaokwenda maeneo ya fukwe na sehemu za michezo ya watoto wanakwenda wakiwa na waangalizi huku akiwataka wanaotumia vyombo
Ikiwa Leo ni Sikukuu ya Eid Mubarak, Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Abubakar Kunenge amesema Vyombo vya usalama vimejipanga kuhakikisha Wananchi wanasherekea kwa amani na utulivu.
RC Kunenge ametoa wito kwa Wazazi kuhakikisha watoto wanaokwenda maeneo ya fukwe na sehemu za michezo ya watoto wanakwenda wakiwa na waangalizi huku akiwataka wanaotumia vyombo vya Moto kuwa makini Barabara kuepusha ajali.
Aidha RC Kunenge amesema Hali ya Usalama Jijini humo ni shwari hivyo Wananchi wasiwe na wasiwasi wowote.
Leave a Comment
Your email address will not be published. Required fields are marked with *