Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na Viongozi mbali mbali, Wanafamilia na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Kisomo cha Khitima cha kumuombea aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, Mdau wa Michezo na Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar Marehemu Mohamed Raza Hassanali Iliyofanyika Masjid Maghfira Mchangani Mjini Zanzibar. Imetolewa na Kitengo
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhajj Hemed Suleiman Abdulla amejumuika na Viongozi mbali mbali, Wanafamilia na Waumini wa Dini ya Kiislamu katika Kisomo cha Khitima cha kumuombea aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Uzini, Mdau wa Michezo na Mfanyabiashara Maarufu Zanzibar Marehemu Mohamed Raza Hassanali Iliyofanyika Masjid Maghfira Mchangani Mjini Zanzibar.
Imetolewa na Kitengo cha Habari (OMPR)
23 Juni, 2023